Posts

Makonda atoa msaada kwa wajane Mkoani Dar es salaam

HALMASHAURI WILAYANI NJOMBE YAVUKA LENGO LA MAKUSANYO

PICHA: MKURUGENZI WA JIJI LA DODOMA AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI

Benki ya CRDB yaichangia Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) shilingi milioni 50 kwa ajili ya upasuaji wa moyo kwa watoto wanaotibiwa katika Taasisi hiyo

Wajasiriamali jijini Dodoma waelezea hali ya biashara zao katika kipindi hiki cha Mlipuko wa Ugonjwa wa Corona

BARAZA LA MADIWANI NA WANANCHI WATAHADHARISHWA DHIDI YA CORONA

Waziri Jafo Awataka Wanafunzi Kuzingatia Masomo

BODI YA MKONGE YATEKELEZA AGIZO LA WAZIRI MKUU

KUSAYA: VIJANA JIFUNZENI KILIMO BIASHARA

WIZARA YA KILIMO KUSHIRIKIANA NA SUA KUZALISHA MBEGU BORA ZA MAZAO

SITAKI WAKANDARASI WABABAISHAJI MIRADI YA UMWAGILIAJI -KM KUSAYA

Dodoma News
Mwanza City, Mwanza, Tanzania
Dennis G. Harrison, mmiliki mwenza wa Mtandao wa Dodoma News Blog, alizaliwa mkoani Morogoro zaidi ya miaka 40 iliyopita. Dennis ana Taaluma ya Uandishi wa Habari (Proffessional Journalism) kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine (SAUT). Mwaka 2009 alimaliza Shahada ya Uzamili katika Mawasiliano ya Umma, ikijikita katika Menejimenti ya Uhusiano kwa Umma na Matangazo katika chuo cha SAUT. Mwaka 2002, Dennis aliajiriwa katika Shirika la Posta Tanzania, Ofisi kuu ya Mwanza. Mwaka 2009 aliajiriwa katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa kwa nafasi ya Afisa Habari. Akiwa katika ofisi hiyo alifanya kazi kwa juhudu na maarifa na kufanikiwa kuchaguliwa na wafanyakazi wote kuwa mfanya kazi bora. Kufuatia juhudi na utendaji kazi wake, alipanda hadi nafasi ya Afisa Habari Mwandamizi.