Posts

RAIS MHE. DKT. MAGUFULI PAMOJA NA MARAIS WASTAAFU WAWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA OFISI ZA IKULU YA CHAMWINO MKOANI DODOMA

Rais Magufuli Aagiza Wizara ya Fedha Kutoa Tsh. Bilioni 2 Ujenzi wa Ikulu Dodoma

BILIONI 175.6 KULETA NEEMA YA MAJI MJINI MOROGORO

YALIYOJIRI LEO MEI 30, 2020 WAKATI RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKIWAKABIDHI NDEGE AINA YA TAUSI MARAIS WASTAAFU PAMOJA NA KUWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA OFISI ZA IKULU CHAMWINO, DODOMA

Wananchi mkoani Njombe wamjia juu mtendaji wa kijiji kwa kuuza eneo lililotengwa kwaajili ya ufugaji wa kilimo

Wakurugenzi Watendaji SIMIYU Waagizwa Kulipa Stahiki za Madiwani

WAKUU WA VYUO WATAKIWA KUTOKUINGILIA UHURU WA IBADA

PICHA: MKUTANO WA BARAZA LA MAWAZIRI SADC KWA NJIA YA VIDEO

Red Cross waitikia wito wa RC Rukwa kwa kutoa msaada kwa waathirika wa Mafuriko ya Ziwa Tanganyika

Wakulima Mahiri Kuanza Kupimwa kwa Sifa

Dodoma News
Mwanza City, Mwanza, Tanzania
Dennis G. Harrison, mmiliki mwenza wa Mtandao wa Dodoma News Blog, alizaliwa mkoani Morogoro zaidi ya miaka 40 iliyopita. Dennis ana Taaluma ya Uandishi wa Habari (Proffessional Journalism) kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine (SAUT). Mwaka 2009 alimaliza Shahada ya Uzamili katika Mawasiliano ya Umma, ikijikita katika Menejimenti ya Uhusiano kwa Umma na Matangazo katika chuo cha SAUT. Mwaka 2002, Dennis aliajiriwa katika Shirika la Posta Tanzania, Ofisi kuu ya Mwanza. Mwaka 2009 aliajiriwa katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa kwa nafasi ya Afisa Habari. Akiwa katika ofisi hiyo alifanya kazi kwa juhudu na maarifa na kufanikiwa kuchaguliwa na wafanyakazi wote kuwa mfanya kazi bora. Kufuatia juhudi na utendaji kazi wake, alipanda hadi nafasi ya Afisa Habari Mwandamizi.