Na. Nizar Mafita, KONDOA
Baraza la Madiwani la
Tatu katika Halmashauri ya Mji Kondoa limefanyoka leo tarehe 29
Aprili na kupokea
taarifa mbalimbali kutoka kamati za kudumu za Halmashauri.
Kikao kilicho fanyika kwa muda mfupi ambao ni dakika 45 ikiwa ni moja ya
mazingatio ya watalaam wa ya taadhari ya kuepuka maambukizi mapya ya home kali ya mapafu
covod 19.
Akizungumza na mwandishi wa habari hii Mkurugenzi wa
Halmashauri ya Mji Kondoa, Msoleni Dakawa amesema
Halmashauri inaendelea kuwakumbusha wananchi kuchukua taadhari na na kuacha
kukaka katika sehemu za mikusanyiko ambayo si ya lazima mfano vijiwe vya
kucheza ‘draft’, viwanda vya
mpira na hata vijiwe vya kahawa.
"Janga Hili la Corona panapopatika nafasi Kama huwezi ukaungumza
bila kuzungumzia Corona tunanedelea kuwatahadharisha wananchi kwa kuzingatia
maelekezo ya watalamu wa Afya na viongozi mfano so vema ukaendelaa kuzurua
mjini kama huna
sababu za msingi ni vyema ukaa nyumbani tu” amesema.
Amesema kuwa kituo cha Afya Bereko
kimechaguliwa kuwa kituo kitakacho hudumia wagonjwa wa Corona kwa Halmashauri tatu ikiwemo Halmashauri ya
wilaya ya chemba, Halmashauri ya wilaya ya Kondoa na
Halmashauri ya mji Kondoa.
MWISHO
Comments
Post a Comment