Na Mwandishi Wetu, Dodoma.
Mkuu
wa mkoa wa Dodoma Antony Mtaka, ameagiza kukamatwa kwa wazazi na walezi 88
wa watoto ambao hawajiripoti kuanza na masomo ya kidato cha kwanza katika
shule ya sekondari iliyopo mkoani hapa.
Tangu
kufunguliwa kwa shule januari 17,2022 shule hiyo imepokea wanafunzi 67 pekee
licha ya wanafunzi 165 kufaulu kujiunga na shule hiyo.
Mkuu
huyo wa mkoa ametoa maagizo hayo leo wakati akizungumza na wazazi,walimu na
wanafunzi wa shule ya hiyo.
Hatahivyo, mwaka jana shule hiyo katika matokeo ya kidato cha nne ilishika nafasi ya 51 kati ya shule 52.
Mwisho.
Comments
Post a Comment