Na. Dennis Gondwe, DODOMA
WANANCHI
wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma wanatarajia huduma bora kutoka kwa taasisi mbalimbali
ikiwa ni utekelezaji wa dhana ya uwajibikaji katika utoaji wa huduma bora.
Meya wa Jiji la Dodoma, Prof. Davis Mwamfupe (kulia) akipokea zawadi kutoka kwa Meneja wa Tawi la NMB Dodoma, Amos Mubusi |
Kauli
hiyo ilitolewa na Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Prof. Davis
Mwamfupe baada ya kupokea zawaidi ya mwaka mpya kutoka benki ya NMB ofisini
kwake.
Prof
Mwamfupe alisema “Halmashauri ya Jiji la Dodoma na benki ya NMB zinategemeana
katika maeneo mbalimbali. Wananchi wanategemea huduma bora kutoka kwetu, hivyo,
tunawajibu wa kuendelea kutoa huduma bora kwa wananchi wetu”.
MWISHO
Comments
Post a Comment