PICHA:WAZIRI JAFO NA MKURUGENZI WA KONDOA MJI WAKIWASILI ENEO LA UJENZI WA MADARASA SHULE YA SEKONDARI ULA
Waziri
wa OR- TAMISEMI Mhe. Seleman Jafo (wa kwanza kushoto) Mwakilishi wa Mkuu wa
Mkoa wa Dodoma Dkt. Suleman Mwogofi (katikati) na Mkurugenzi wa Halmashauri ya
Mji Kondoa Msoleni Dakawa wakiwasili katika eneo la ujenzi wa madarasa katika
Shule ya Sekondari Ula wakati wa ziara ya Mhe. Waziri.
Waziri wa OR- TAMISEMI
Mhe. Seleman Jafo akiongea na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Ula wakati wa
ziara yake shuleni hapo na kuwaahidi endapo watafaulu kwa daraja la kwanza
mtihani wa kidato cha nne atawachagulia shule nzuri kama zawadi kwao.
Comments
Post a Comment