Na. Mwandishi Wetu, DODOMA
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mussa Zungu amekiri kuwa ni kweli hali ya uchafu katika Jiji la Dar es Salaam ni kubwa kutokana na uwepo wa dampo moja na kuahidi kujengwa dampo jipya la kisasa litakalobeba taka zote.
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mussa Zungu amekiri kuwa ni kweli hali ya uchafu katika Jiji la Dar es Salaam ni kubwa kutokana na uwepo wa dampo moja na kuahidi kujengwa dampo jipya la kisasa litakalobeba taka zote.
Hayo ameyasema jana bungeni jijini
Dodoma, wakati akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Kawe, Halima Mdee
aliyetaka kujua mpango wa serikali wa kujenga dampo la kisasa kwenye maeneo
mengine kila wilaya ili kuzuia uchafu kutokana na lililopo kutokidhi kubeba
uchafu katika jiji zima.
Akijibu swali hilo Zungu amesema
kasi ya taka katika Jiji la Dar es Salaam ni kubwa licha ya kuwa linakua kwa
kasi na kwamba miaka ijayo linakadiriwa kuwa na watu zaidi ya milioni 8 hadi 9
na dampo ni moja.
MWISHO
Comments
Post a Comment